Habari zote kali za town,music,michezo,burudani,siasa na mambo yote yanayohusu jamii kwa ujumla kama mavazi na mitindo mbalimbali..HAPA NDO KWAO.
Friday 12 February 2016
Rais Magufuri ahaidi makubwa
Rais John Pombe Magufuri ametoa maneno mazuri ambayo kwa namna moja au nyingine yatakuwa chachu ya kuwapa matumaini watanzania wote.Ameyasema hayo wakati akitimiza siku 100 mjengoni.
""Ndugu zangu Watanzania, najua maisha mnayoishi, taabu mnazozipata na matarajio yenu kwangu. Vilio vyenu ninavisikia na ninavifanyia kazi. Lengo langu ni kuwatoa katika UMASIKINI....sitowaangusha"---Rais John Pombe Magufuli."
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Uko Vizuri mr. Michaele hivi nikitaka kuwa na blogs yangu nafanyaje nataka nikuone pia nataka data base yangu
ReplyDeletePoa poa mkuu kuna vitu naweka sawa tutahabarishana zaidi
ReplyDelete