Wednesday 17 February 2016

Ney wa mitego nae afunguka kufuatia mimba ya Wema kutoka


Nay wa mitego ameenelea kutoa ya moyoni kufuatia sakata lake na wema.Ney wa Mitego alipokuwa akihojiwa na kipindi cha Maskani cha Efm kinachotangazwa na Gadner G Habash,alisema kuwa kama binadamu hawezi kufurahia tukio hilo.
     "Mimi kama binadamu siwezi kufurahia kuwa mimba ya dadangu imetoka.Mimi ni mtu ninaependa sana watoto au kuona mwenzangu anapata watoto.kama ni kweli nampa pole ila kama ni kiki alikuwa anatafuta bas ndo mwisho wake"
Hilo limekuja baada ya Ney kushambuliwa na mashabiki wa wema mara baada ya kupost picha ilikuwa inaonesha tumbo bandia la mimba katika mtandao wake wa Instagram...
Pia Ney amefunguka kwa BASATA na kusema kuwa mbina nyimbo nyingi za nje hazina maadili lakini zinaoneshwa na kupigwa radioni????

Download here:http://downloads.ziddu.com/download/25234056/Adele_Hello.mp3.html

No comments:

Post a Comment