Tuesday 23 February 2016

Huzuni yaikumba Hip Hop Marekani,rapa Lil Wayne abakiza mwezi wa kuishi.


Huzuni kubwa yaikumba Hip Hop Marekani baada ya mwanahipop Lil wayne kutangaza kuwa amebakiza mwezi mmoja wa kuishi katika maisha yake.
Hii ni habari mbaya zaidi katika game ya music nchini marekani baada ya Lil wayne kuitisha kikao na waandishi wa habari na kuwaeleza hayo.Aliitisha kikao hicho jijini Atalanta na kuelezea kuwa na tatizo la KANSA YA NGOZI ambayo wataalamu wa afya walimwambia kuwa ana majuma matano tu ya kuishi hapa duniani.
Akionekana akiwa na afya iliyo dhaifu sana alisema kuwa daktari alimwambia kuwa ana kansa iliyoko "STAGE 4" yani hawawezi kumsaidia zaidi ya kusubiri umauti.
Haya ni maneno aliyosema daktari  huyo kwa Lil wayne
             " With 80% percent of his body covered in tattoos our scanners were always falling to detect the cancer in his skin all the time until it reaches stage 4…The only thing we advice him is to enjoy the few days he got left. Wayne always visited me for regular check ups so we were close, The only thing he pissed me off with was stealing my cough syrup every time he visited”. Joked Dr Williams.

Lil wayne amepanga kutumia maisha yake yaliyobakia akiwa na wenzie wa kundi lake la YMCMB.
Hapa chini ni maneno aliongezea rapa Lil wayne kwenye kikao hicho
         " I would be grateful if someone can always pour a bottle of codeine and promethazine cough syrup every week on my tomb while two red bones twerk on either side of my grave…I’m dying a happy man and I hope ya’ll remember me”
  Alipomaliza kusema maneno hayo aliondoka huku akiacha mshituko mkubwa sana kwa waandishi wa habari na washabiki wake.
Hivi karibuni alikwenda kwa mtaalamu wake wa kumchora "Tattoo" yenye neno "FUCK CANCER" lakini mtaalamu huyo alimkatalia katakata rapa huyo.

Source: http://www.viroshare.com/celebrities

No comments:

Post a Comment