Habari zote kali za town,music,michezo,burudani,siasa na mambo yote yanayohusu jamii kwa ujumla kama mavazi na mitindo mbalimbali..HAPA NDO KWAO.
Wananchi wa Uingereza wameupitisha mswada wa kujitoa umoja wa ulaya hatua iliyopelekea WAZIRI MKUU kujiuzulu.
Hii ndo inaitwa UKOMAVU WA DEMOKRASIA ambao unapaswa kuigwa na mataifa ya kiafrika ambayo kuna ukandamizahi mkubwa wa demokrasia
No comments:
Post a Comment