Friday 24 June 2016

WAZIRI MKUU WA UINGEREZA AJIUZULU....

Wananchi wa Uingereza wameupitisha mswada wa kujitoa umoja wa ulaya hatua iliyopelekea WAZIRI MKUU kujiuzulu.

Hii ndo inaitwa UKOMAVU WA DEMOKRASIA ambao unapaswa kuigwa na mataifa ya kiafrika ambayo kuna ukandamizahi mkubwa wa demokrasia

No comments:

Post a Comment