Wednesday 8 June 2016

BIONIC MAN-Roboti aliekuwa na hisia na kutenda kama mwanadamu.

Bionic man ni roboti wa kwanza duniani ambaye ametengenezwa akiwa na uwezo wa kuongea,kutembea na kupumua.Ingawa si mwanadamu lakini pia roboti huyu ana moyo wa bandia
Wataalamu wa mambo ya robot Rich Walker na Mathew Godden wa kampuni ya shadow robot ndio walioifanya kazi hii ya kumtengeneza robot huyu aitwae bionic man.
"Kazi yetu ilikua kukusanya sehemu mbali mbali za mwili ikiwa ni pamoja na organ za bandia,miguu,macho ,kichwa kwa muda wa wiki 6 na kuvitumia kutengeneza bionic man"walker alieleza alipokua akihojiwa na livescience
Anasema kazi hiyo haikua rahisi kwani hawakua na binadamu bali walitengeneza kitu ambacho kitafanana na mwanadamu.

No comments:

Post a Comment