Monday 14 March 2016

MWANAMKE AJIFUNGUA WATOTO 17

Mwanamke mmoja nchini Marekani amevunja rekodi ya dunia ya kujifungua watoto wengi kwa wakati mmoja alipojifungua watoto 17 kwa wakati mmoja.Alitumia takribani masaa 29 ambao ni sawa na siku nzima moja na masaa 5.
Akitoa ushuhuda,daktari aliemsaidia kujifungua watoto hao alisema
       
"Watoto waliendelea kutoka na kutoka.Nahisi ni jambo la kushangaza ambalo litakaa moyoni mwangu kwa muda mrefu sana."

MWanamke huyo Catherine Rodgers na mumewe,walijaribu mara kadhaa kupata mtoto mtoto lakini hawakufanikiwa hadi walipotembelea kituo cha masuala ya uzazi kilichopo katika kisiwa cha Rhodes na kufanikiwa kupata tiba iliyopelekea mwananmke huyo kupata ujauzito wa watoto hao.

Watoto hao ambao wote ni wa kiume wamepewa majina haya
James, Jacob, Jarod, Jarvis, Jason, Jeffrey, Jeremy, Jerome, Jesse, Jimmy, Joachim, Jonathan, Jonas, Joseph, Julian, Jimbo,Darth na Porkinus.

No comments:

Post a Comment