Tuesday 26 April 2016

UNYAMA WA KUTISHA,MFANYAKAZI WA NDANI AUNGUZWA NA MAJI YA MOTO SEHEMU ZA SIRI!!!

Jaman mume afumaniwa na house girl mke akawamagia maji ya moto, ila mke hakufanya feya kw house girl cz anaonyesh ni mdogo huyo mam hasira angemaliza kw mume wake sio kw house girl hana makosa hako kanaonyesha ni kadogo San unawez kukuta alimbaka angesubir amuuliz maswal kwanz thn amrudishe kwao...

Huu ni unyama wa kutisha sana haijalishi ni kosa gani wahusika wamefanya.


UTU KWANZA NDOA BAADAE.

No comments:

Post a Comment